Klabu ya Ligi Kuu Burkina Faso yaja kujifunza Young Africans

Timu ya soka ya Usfaburkina kutoka Ouagadougou inayishiriki Ligi Kuu nchini Burkina Faso imewasili makao makuu ya klabu ya Yanga SC kwaajili ya Semina ya Mafunzo ya mfumo wa uendeshaji wa klabu ya mpira wa miguu.

Mafunzo hayo yameanza leo chini ya idara ya Wanachama na Masoko kisha kuendekea kesho kupitia idara nyingine kabla ya kuhitimisha semina hii na kukutana na Rais wa Yanga Eng Hersi Said.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons