Keyekeh ahusishwa na Yanga msimu ujao
Kiungo wa ushambuliaji raia wa Tanzania Emmanuel Keyekeh mbioni kujiunga Young Africans,
Keyekeh kiusili ni mzaliwa wa nchini Ghana ambaye kwasasa amechukua uraia wa Tanzania,
Taarifa kutoka kwenye chanzo chetu zimetujuza kuwa Emmanuel Keyekeh (28) anaelekea kujiunga na Mtanzania Mwenzake Mohamed Damaro baada ya kutamatika msimu huu 2025/26,
Mazungumzo baina ya Young Africans na viongozi wa juu wa klab ya Singida Black Stars yamefikia pazuri
