Aziz Ki azidi kuwasha moto Libya

Stephanie Azizi Ki leo ameendelea kuonesha makali yake kwenye ligi kuu ya Libya akiwa na klabu yake ya Al-Ittihad SC.

Aziz Ki leo amefanikiwa kufunga bao 1 kwenye ushindi wa mabao 4-1 walioupata Al-Ittihad dhidi ya klabu ya Shabab Al Ghal kwenye mchezo wa ligi kuu ya Libya.

Hili sasa linakuwa ni goli lake la pili kwenye michezo 6 aliyocheza mpaka sasa ndani ya klabu hiyo kwenye ligi kuu msimu huu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons