Makocha wawili wasaidizi wa Kaizer Chiefs, Cedric Kaze pamoja na Khalil Bin Youssef kwa pamoja wamegoma kuachia ngazi kwa matakwa yao ili kuinusuru timu kwenye mfululizo wa matokeo Mabaya ambayo wanayapitia kwa sasa
Makocha hao wawili wanaamini kuwa bado wana kitu cha kufanya huku sababu ya malipo (wadhfa) kama kwa hiari yao watakubali kuondoka basi watakosa sehemu kubwa ya Malipo ya Vipengele Vya Mikataba Yao
Kaze na mwezake kwa msimu ujao lengo kubwa ambalo wamewekewa na Uongozi wa Kaizer ni kuipeleka tena timu kwenye Michuano ya Kimataifa ya CAF !.
