Yanga wapiga tizi la mwisho la kuivaa Simba kesho

Kikosi cha Yanga SC leo kimefanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuwavaa watani zao Simba SC kesho mchezo wa Ligi Kuu bara katika uwanja wa New Amaan Stadium, Zanzibar.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI