Simba wapo tayari kuwavaa Yanga Zanzibar
Wachezaji wa timu ya Simba SC wakiwa Zanzibar tayari kwa ajili ya mtanange wao dhidi ya Yanga SC siku ya Jumapili katika uwanja wa New Amaan Stadium, mchezo wa Ligi Kuu bara.
Wachezaji wa Simba SC wakiwasili.










