Pacome yupo tayari kwa dabi, akwea boti kuwafuata Simba

Kiungo Mshambuliaji wa Kimataifa wa Ivory Coast na Klabu ya Yanga SC, Pacome Pedoh Zouzoua amesafiri na Kikosi cha Yanga kuelekea visiwani Zanzibar tayari kwa mchezo wa Derby dhidi ya Simba SC.
.
Pacome ameshapona na yupo tayari kuwakabili Simba, uwepo wa Pacome unazidi kuwachanganya mashabiki wa Simba ambao bado hawana furaha anapokuwepo mchezaji huyo kwenye kikosi cha Yanga.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI