Mzize uso kwa uso na Skudu Makudubela Afrika Kusini
Winga wa zamani wa Yanga SC, Skudu Makudubela amekutana na Mshambuliaji wa Yanga SC, Clement Mzize ambaye yupo Afrika Kusini kupatiwa matibabu ya mguu.
.
Skudu alimpelekea Mzize ujumbe wa kumtakia heri ya kupona haraka kupitia Ki-memo alichobeba.


