Mwanamuziki mkomgwe wa muziki wa kizazi kipya, Bongofleva, Godfrey Tumaini "Dudubaya" ametoka salama katika chumba cha upasuaji huko Delhi, India amesema kwasasa anaendelea vizuri.
Dudubaya amefanyiwa upasuaji wa kuweka sawa pingili za mgongo, mwanamuziki huyo mkongwe amemshukuru Mungu, madaktari, mashabiki wake na wote wanaomtakia mema.
Dudubaya amepelekwa India kufanyiwa upasuaji wa pingili na mpenzi wake Wastara Ili amuoe.
