Stellenbosch yapata mrithi wa Steve Barker

Stellenbosch wamemchukua legend wa mpira wa Afrika Kusini Gavin Hunt kuchukua nafasi ya Steve Barker ambaye amejiunga na Simba.

Gavin alikuwa na nyakati nzuri akiwa kocha wa Supersport ila miaka ya hivi karibuni amekuwa na changamoto ya kupata matokeo mazuri yenye muendelezo, Stellenbosch wanategemea uzoefu wake utawasaidia.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI