Senegal yaiduwaza Botswana, AFCON

Nicolas Jackson amefunga magoli mawili na kuisaidia Senegal kuibuka na ushindi mnono wa 3-0 dhidi ya Botswana kwenye mchezo wa Kundi D dimba la Ibn Batouta.

Mabao ya Senegal yamefungwa na Nicolaus Jackson (mawili) dakika ya 40 na 58 na Ndiaye dakika ya 90.

MSIMAMO KUNDI D (baada ya mechi za raundi ya kwanza:)
1. Senegal — pointi 3
2. DR Congo — pointi 3
3. Benin — pointi 0
4. Botswana — pointi 0


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons