Yusuf Kagoma hajapata dakika nyingi kwenye AFCON sio kwa sababu hajui bali Miguel Gamondi anavyotaka timu yake icheze ni tofauti na style ya Kagoma.
Alphonce Mabula Msanga he was rapid alikuwa kila sehemu ya uwanja, Kagoma ametulia wanaweza kucheza wote pamoja lakini Miroshi anafanya vizuri vizuri kwa hiyo sio lack of quality kwa Kagoma but style of playing ya kocha.
