Gamondi awalilia waliopoteza maisha Oktoba 29

Baada ya Tanzania kutinga hatua ya 16 bora AFCON inayoendelea nchini Morocco, kaimu kocha mkuu wa timu ya taifa Taifa Stars, Miguel Gamondi amesema kwamba ushindi walioupata Stars ni maalum kwa watu waliopatwa na majanga ya 29 Oktoba wakati wa uchaguzi.

"Hili Heshima kwa yalio ikuta Tanzania Tarehe 29, natoa hesima zangu za Dhati kwa wale wote walio poteza Maisha Yao "

Kocha Miguel Gamondi Via BBC


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI