Pamba Jiji yapewa ushindi wa mezani Ligi Kuu bara

Klabu ya Pamba Jiji imepewa alama tatu na magoli matatu baada ya mchezo wao dhidi ya Dodoma Jiji kushindwa kuendelea ukichezwa dakika 6 tu.

Mchezo huo ulindwa kuendelea kutokana na umeme kukatika dakika ya 6, hivyo kamati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi ya bodi ya ligi kuu (TPLB) imewapata Pamba alama tatu na magoli matatu kwa kosa la wenyeji (Dodoma Jiji) kushindwa kuuandaa mchezo vyema.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI