Yusuf Kagoma kuikosa Gaborone United Jpili

Yusuf Kagoma (29) atakosa mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika  dhidi ya Gaborone United baada ya kuumia mguu wa kulia.

Kagoma aliumia kipindi cha kwanza cha mchezo wa jana dhidi ya Fountain Gates, akaendelea kucheza kwa muda lakini alilazimika kutolewa mapema kipindi cha pili. Uchunguzi umeonyesha jeraha lake ni kubwa kuliko ilivyodhaniwa awali, hivyo hatakuwa sehemu ya kikosi cha marudiano.

Simba SC itamkosa mchezaji muhimu katika mchezo huu wa kuamua hatma yao kwenye ligi ya mabingwa.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI