Yanga yaibana Mbeya City Sokoine

Ni ngumu kuamini lakini ndivyo ilivyotokea, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu bara Yanga SC jioni ya leo imeilazimisha Mbeya City kwenda nayo sare tasa 0-0 uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.

Ingawa Yanga ndio imeibana Mbeya City kwakuwa ilikuwa ugenini, lakini mashabiki wake wameyapokea vibaya matokeo hayo kwani timu yao itakuwa na pointi 4 na ikiachwa nyuma na wapinzani wake Azam FC na Singida Black Stars wenye pointi 6 na Simba kama kesho itaibuka na ushindi.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI