Yanga itakaa sawa chini yangu - Folz

Kocha mkuu wa Yanga SC, Roman Folz raia wa Ufaransa, amesema kikosi chake kitakaa sawa hivi karibuni na amewataka mashabiki wa timu hiyo kukaa mkao wa furaha.

“Kila mchezaji anaeonesha mazoezini atapewa mechi,lakini kila mchezaji atacheza kwenye timu yangu,yote ni kwasababu nawahitaji wawe Fiti muda wote kwasababu mbele kuna mashindano mengi

Kwasasa hatuwezi kuwa na huo ubora lakini kuna kipindi kinakuja timu itakuwa bora sana chini yangu”

Kocha mkuu wa kikosi cha Yanga Sc”Romain Folz”

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI