Singida Black Stars ya Gamondi yatoa dozi

Timu ya Singida Black Stars wanaandika historia ya kuvuka na kwenda hatua inayofuata ya mtoano katika kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya ushindi wa mabao 2-1.

Wametinga hatua hiyo baada ya kuwatoa Rayon Sports kutoka Rwanda kwa Aggregate ya 3-1.

Mabao ya Singida Black Stars yamefungwa na Idriss Diomande dakika ya 38 na Antony TRA Bi Tra dakika ya 56 wakati bao pekee la Rayon Sports limefungwa na Gloire dakika ya 44.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI