Singida Black Stars ya Gamondi mwendo mdundo Ligi Kuu bara

BAO pekee la mshambuliaji Mkenya, Elvis Baranga Rupia dakika ya 45’+5 limeipa Singida Black Stars ushindi wa 1-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam.
Black Stars wanafikisha pointi sita katika mchezo wa pili, wakati Mashujaa inabaki na pointi zake nne baada ya kucheza mechi tatu sasa ikishinda moja, sare moja na kufungwa moja leo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI