Simba kukutana na Gaborone United bila mashabiki wake

Rasmi Afisa habari wa Simba SC  Ahmed Ally  amethibitisha  mechi ya Simba SC dhidi ya Gaborone United Jumapili hii haitakuwa na mashabiki wana tumikia adhabu ya CAF.

Adhabu hiyo ilitokana na mchezo dhidi ya Al Masry ambapo kuna shabiki aliingia uwanjani na kuna mashabiki waliwasha moto.

Adhabu hiyo inakwenda pamoja na faini ya Dola 50,000 Sawa na Tsh  Million 123,

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI