Sheria Ngowi avunja mkataba na Gor Mahia

Klabu ya Gor Mahia ya nchini Kenya imevunja rasmi mkataba na mbunifu wa jezi zao ndg Sheria Ngowi ambaye ndiye alitengeneza jezi za klabu hiyo msimu uliopita.

Huo ni mkataba wa pili kuuvunja, hasa baada ya kuanza kuvunja mkataba na klabu ya Yanga SC ya Tanzania.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI