Roman Folz akalia kuti kavu Yanga


Huenda mchezo wa Yanga dhidi ya Mbeya city ukawa mchezo wa mwisho kwa kocha  Romain Folz baada ya viongozi wakubwa wa juu wa Yanga kutoridhishwa na mwenendo wa timu 

Licha ya Yanga kupata ushindi kwenye mechi zao zote lakini timu hiyo imeonekana kutocheza soka safi 

Yanga wameona wamlete kocha mwingine kabla ya kwenda kwenye International Break ili angalau kocha mpya apate muda wa kukaa na timu

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI