Mlandege yapata ushindi, ila yatupwa nje
Klabu ya Mlandege FC ya Zanzibar wameshinda bao 3-2 kwenye mchezo wa leo dhidi ya Ethiopian Insuarance lakini matokeo ya jumla (3-4) yamewapa nafasi Ethiopian Insuarance ya kusonga mbele kwenye hatua inayofuata ya michuano ya Ligi ya mabingwa Afrika.