Mlandege yapata ushindi, ila yatupwa nje

Klabu ya Mlandege FC ya Zanzibar wameshinda bao 3-2 kwenye mchezo wa leo dhidi ya Ethiopian Insuarance lakini matokeo ya jumla (3-4) yamewapa nafasi Ethiopian Insuarance ya kusonga mbele kwenye hatua inayofuata ya michuano ya Ligi ya mabingwa Afrika.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI