Mbeya City waapa kuifunga Yanga kesho

Kuelekea mchezo wa kesho kati ya wenyeji Mbeya City dhidi ya Yanga SC kocha mkuu wa the purple nation Malale Hamsini amesema kuwa wamejipanga vizuri kuikabili Yanga na kesho wataweka washambuliaji wengi ili kupata ushindi wa alama tatu.

Mechi itapigwa kuanzia majira ya 10:15 jioni kwenye dimba la Sokoine jijini Mbeya 

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI