#TupoNaMama: Ujumbe wa Mama kupitia Kikwete nyumbani kwa Traore

UJUMBE kwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso Traore umewasilishwa na Rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete Ikulu ya Burkina Faso.

Hizo zote ni juhudi za Rais Samia nje ya mipaka ya Tanzania katika kustawisha demokrasia baina ya nchi na nchi, Rais mstaafu Kikwete amekuwa akitembelea mataifa mbalimbali kupeleka ujumbe wa Samia.

#Tupo-NaMama


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI