Yanga kumrejesha Mayele

Mshambuliaji wa Pyramids na Timu ya Taifa ya Congo Fiston Mayele yupo kwenye mipango na rada ya kurejea Yanga SC.

Wananchi wanaitaji huduma yake.Kupitia watu wa karibu wa Fiston Mayele ni kuwa nyota huyo pia ana tamani kurejea mitaa ya Twiga na Jangwani endapo akiondoka ndani ya Pyramids.




Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI