Prince Dube amelogwa

Mshambuliaji wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu bara, Prince Dube Mpumalelo raia wa Zimbabwe amesema tangu alipojiunga na Yanga anajihisi kupata maumivu makali ya kichwa anapokuwa uwanjani.

Kwa mana hiyo Dube ni kama anafanyiwa mambo ya 'kiswahili' na watu wasiojulikana.

"Tangu nijiunge na Yanga katika kila mechi ninayoanza nahisi maumivu makali ya kichwa napokuwa uwanjani.”-price Dube Mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI