Mokwena mambo magumu Wydad

Kocha mkuu wa Wydad Casablanca Rulani Mokwena baada ya kipigo cha magoli mawili juzi kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya COD Meknès kwenye Ligi kuu nchini Morocco amekiri mambo ni magumu kwake na timu yake kwa ujumla na kuomba Mashabiki wa timu hiyo wawe na subira kabla ya timu yao kuanza kufanya vizuri.

“Imekuwa ni misimu miwili migumu sana, watu wanapaswa kuelewa kwamba, wachezaji, makocha, viongozi hatuwezi kuja HAPA na kufanya uchawi, kila kitu kinahitaji muda” Alisema Rhulani.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI