Karia kulamba shilingi milioni 204 kwa mwezi

Kwenye kikao cha 46 cha Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) 2024 nchini Ethiopia wamepitisha posho mpya ambazo Marais wa Mashirikisho Wanachama watakavyolipwa na Marais wa vyama vya Kikanda watakavyolipwa kwa mwaka.

Mfano Rais Karia wa TFF atapokea dola 50,000 kama Rais wa TFF na atapokea dola 25,000 kama Rais wa CECAFA ambapo jumla kwa mwaka anachukua dola 75,000 za Kimarekani ambazo ni sawa na Million 204,580,500 za Kitanzania kwa mwaka! MILLION 204 sawa na MILLION 17 kwa mwezi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI