JS Kabylie kuibomoa Yanga


Klabu ya JS Kabylie ipo tayari kuvunja mkataba wa Gamondi na Yanga ili waweze kumchukua aweze kua Kocha wao mkuu.

Klabu hiyo inayonolewa na aliyewahi kua kocha wa Simba Benchika, inataka kuachana na kocha huyo ili waweze kumpata Gamondi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI