Gamondi alilia ugumu wanaokutana nao sasa

Kocha wa Yanga ameendelea kulalamikia changamoto kubwa wanayokumbana nayo na inapelekea timu yake kukosa mwelekeo.

"Mazingira haya. changamoto kubwa tunayokumbana nayo sio tu michezo mingi kwa wakati mfupi bali uchovu wa safari.

Tumetokea Arusha, awali ya hapo wachezaji wangu wengi walikuwa nje ya mipaka ya Tanzania. Leo tupo hapa na baada ya kesho tunapaswa kurejea Dar” alisema Miguel Gamondi



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI