ZAHERA KOCHA MKUU NAMUNGO

Klabu ya Namungo imemtangaza rasmi Mwinyi Zahera raia wa DR Congo kuwa Kocha Mkuu wao Mpya akichukua nafasi ya Denis Kitambi ambaye amejiunga na Geita Gold.

Zahera ambaye amewahi kuinoa Yanga kwa mafanikio ikimaliza ligi kwenye nafasi ya pili nyuma ya Simba pia aliifundisha Coastal Union ya Tanga ambao walimfuta kazi hivi karibuni

Mwinyi Zahera kocha mpya Namungo FC

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI