YANGA YAENDELEZA 5 HADI KOMBE LA MAPINDUZI

Yanga SC imewapa zawadi ya kuaga mwaka wa 2023 kwa kuendeleza vipigo vyake vya mabao matano, hasa baada ya usiku huu kuifumua Jamhuri ya Pemba mabao 5-0 katika uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar.

Ushindi huo mkubwa wa kombe la Mapinduzi umeifanya Yanga kuweka hai matumaini yake ya kutinga nusu fainali ya michuano hiyo.

Mabao ya Yanga yamefungwa na Crispin Ngushi aliyefunga mawili, Kibwana Shomari, Walid Mzize na Skudu Makulubela


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI