TANZANIA BARA, ZANZIBAR HAKUNA MBABE

Time za taifa za Tanzania bara, Kilimanjaro Stars na Zanzibar, Zanzibar Heroes zimetoka sare isiyo na mabao usiku huu katika uwanja wa Amaan, visiwani Zanzibar.

Mchezo huo wa kirafiki ulikuwa ni maalum kwa ufunguzi wauwanja mpya wa Amaan ambao umekamikika baada ya kufanyiwa matengenezo mapya chini ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inayoongozwa na Rais wa Zanzibar Hussein Ali Mwinyi

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI