SIMBA YARUDI TENA KWA YAHYA MBEGU


Klabu ya Simba imeanza mazungumzo na Menejiment ya mlinzi wa kushoto wa Singida Fountain Gate, Yahya Mbegu ili kuipata saini ya mchezaji huyo katika dirisha dogo la usajili.

Yahya Mbegu bado anahitajika na Klabu ya Simba ili kuongeza nguvu kwenye eneo la kushoto ambalo hivi sasa linahudumiwa na mlinzi wa kushoto Mo Hussein.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI