SIMBA KUIBOMOA JKU

Klabu ya Simba ipo kwenye rada ya kuimarisha safu yake ya ulinzi na wanatajwa kuanza kumuwinda beki wa JKU ya Zanzibar Mcameroon Jean Jospin Engola.

Beki huyo mwenye urefu wa futi 6 na inchi 2 na uwezo mkubwa wa kujilinda na mipira iliyokufa, aliwahi kucheza Lagalax Marekani Na Coton Spots ya Cameroun.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI