MSUVA AMALIZANA NA YANGA

Na Salum Fikiri Jr

Mshambuliaji Simon Msuva anatajwa kujiunga na mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga SC na muda wpwote kuanzia sasa anaweza kutambulishwa.

Msuva ambaye pia anaichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars hivi karibuni alivunjiwa mkataba wake na timu ya JS Kybalie ya Algeria.

Msuva pia amewahi kuichezea Wydad Casablanca ya Morocco na pia aliwahi kucheza Saudi Arabia


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI