MBADALA WA LOMALISA YANGA HUYU HAPA

Na Elius John

Yanga imedhamiria kuboresha kikosi chake kila mahali ambapo tayari imetua upya nchini DR Congo, kwa ajili ya kukamilosha dili la kumpata beki wa kushoto, Kasapu lbrahim Abduol ambaye anakipiga Maniema Union ya DR Congo.

Abduol anakuja kuchukua nafasi ya Joyce Lomalisa ambaye mkataba wake na Yanga unamalizika mwishoni mwa msimu huu na Hadi Sasa hajasaini mkataba mpya licha ya kushawishiwa afanye hivyo


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI