MBADALA WA LOMALISA YANGA HUYU HAPA

Na Elius John

Yanga imedhamiria kuboresha kikosi chake kila mahali ambapo tayari imetua upya nchini DR Congo, kwa ajili ya kukamilosha dili la kumpata beki wa kushoto, Kasapu lbrahim Abduol ambaye anakipiga Maniema Union ya DR Congo.

Abduol anakuja kuchukua nafasi ya Joyce Lomalisa ambaye mkataba wake na Yanga unamalizika mwishoni mwa msimu huu na Hadi Sasa hajasaini mkataba mpya licha ya kushawishiwa afanye hivyo


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI