KILIMANJARO STARS WAIFUATA ZANZIBAR HEROES

Timu ya taifa ya Tanzania bars, Kilimanjaro Stars imeanza safari ya kuelekea Zanzibar ambapo itaenda kucheza na timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes mchezo wa kirafiki wa kudumuhisha muungano.

(Pichani) Wachezaji wa timu ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) wakiwa Bandarini, Dar es Salaam kwa safari ya Zanzibar kucheza mchezo maalumu wa kirafiki kufungua uwanja w Amaan, mchezo utakaochezwa Desemba 27, 2023.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI