ISMAIL MHESA AITOSA MASHUJAA


Winga wa Kitanzania Ismail Aidan Mhesa ameachana na klabu ya Mashujaa FC ya Kigoma Baada ya makubaliano ya pande zote mbili.

Ismail alijiunga na Mashujaa FC mwanzoni mwa msimu huu wakati wa dirisha kubwa la Usajili na Sasa mambo hayajaenda Vizuri hivyo ameachana na klabu hiyo.

Mhesa kwasasa yuko katika mazungumzo na klabu ya Mtibwa Sugar FC ambayo alicheza kabla ya kwenda kujiunga na Mashujaa FC.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI