CHE MALONE ATEMWA, ATEBA AJUMUHISHWA CAMEROON

Mshambuliaji hatari wa Dynamo Douala, Leonel Ateba amejumuishwa kwenye kikosi cha Wachezaji 55 wa Cameroon kitakachoelekea nchini Ivory Coast kwa ajili ya michuano ya AFCON 2023.

Huku mlinzi Che Malone aliyetajwa kwenye kikosi cha awali ameondolewa kwenye kikosi hicho cha Kocha Mkuu Rigobert Song wa Cameroon.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI