CHAMA KUTAMBULISHWA YANGA

Muda wowote klabu ya Yanga itatangaza kumsainisha kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Mzambia Clatous Chama.

Chama amesimamishwa kwa muda usiojulikana na waajili wake Simba wakidai ni mtovu wa nidhamu sambamba na kiungo Nassoro Kapama.

Lakini vyanzo vyetu vya habari vinasema tayari Yanga wameshazama ndani na kuzungumza na Chama ambaye mkataba wake na Simba umesalia miezi 6 hivyo ifikapo dirisha kubwa la usajili atajiunga na Yanga


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI