CHAMA, INONGA NA MUSONDA KUCHEZA AFCON

Clatous Chama amekuwa mchezaji wa pili kutoka Simba SC Tanzania baada ya Enock Inonga Baka kuthibitishwa kushiriki AFCON 2023 itakayofanyika Cote De Voire kuanzia January hii akiwa na Chipolopolo (Zambia .

Mpaka sasa ni wachezaji watatu tu kutoka Ligi Kuu bara ya NBC waliothibitishwa kwenda AFCON, wachezaji hao ni Hennock Inonga, Clatous Chama na Kennedy Musonda


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI