AZAM YASHINDA KWA MBINDE

Goli pekee lililofungwa dakika ya 12 kipindi cha kwanza na mshambuliaji bonge wa Azam FC Alassane Diao liliiwezesha matajiri hao wa Chamazi kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar usiku wa leo katika michuano ya kombe la Mapinduzi.

Hiyo ni mechi ya pili kwa Azam ambao katika mchezo wao kwanza walilazimishwa sare isiyo na bao dhidi ya mabingwa watetezi wa kombe hilo Mlandege


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI