SAWADOGO AIBANA SIMBA


Klabu ya Simba SC imeshindwa kufikia makubaliano na kiungo Ismael Sawadogo raia wa Bukinafaso kuhusu kuvunja mkataba wake baada ya nyota huyo kutaka kulipwa fedha yote dola 300,000 (zaidi ya milioni 700 za kitanzania) za kuvunja mkataba wake.

Kwa sasa Simba wanatafuta timu ya kumpeleka kwa mkopo na wakikosa timu nyota huyo atabaki Simba kwa msimu ujao.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons