MATOLA AREJESHWA TENA SIMBA

Leo tumemtambulisha rasmi Kocha Selemani Matola kuwa Kocha mkuu wa timu zetu za vijana chini ya miaka 17 na 20

Pia tumemtambulisha Patrick Rweyemamu kuwa Mkuu wa Programs za vijana za Simba

Kwanini Patrick na Matola, wawili hawa wana uzoefu mkubwa kwenye eneo hili la vijana, tunaaamini watafanya makubwa kama ambavyo walifanya hapo awali


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI