Yanga nao wafuata ndumba Moro

Na Mwandishi Wetu

Homa ya mpambano we watani wa jadi katika soka la Tanzania imepamba moto ambapo tayari vilabu vikongwe vimeshaanza kulikimbia jiji la Dar es Salaam.

Simba wao wameenda kujificha Zanzibar kwenye marashi ya karafuu wakati Yanga wameondoka zao kuelekea mji kasoro bahari Morogoro, Yanga na Simba zitaumana siku ya Jumapili kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, katika mchezo uliopita Yanga iliifunga Singida United mabao 2-0

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA