Simba yafuata uchawi Zanzibar

Na Ikram Khamees. Dar es Salaam

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara Simba SC wameelekea Zanzibar kwa ajili ya kuweka kambi kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya mahasimu wao Yanga SC utakaopigwa Jumapili ijayo kwenye uwanja wa Taifa.

Simba itamkosa nahodha wake John Bocco "Adebayor" ambaye alionyeshwa kadi nyekundu katika mchezo wa Ligi Kuu bara dhidi ya Mwadui FC ambao Simba ilishinda mabao 3-1 uwanja wa Kambarage, inasemekana watani zao Yanga wameelekea mjini Morogoro

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI