Stand United na Mtibwa Sugar ni nusu fainali ya kisasi

Na Mwandishi Wetu. Shinyanga

Leo inapigwa nusu fainali ya kwanza ya kombe la Azam Sports Federation Cup kati ya Stand United na Mtibwa Sugar katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.

Stand United inaingia katika mchezo huo ikiwa nyumbani mbele ya mashabiki wake hivyo kila sababu ya kuweza kuchomoza na ushindi, lakini vijana wa Mtibwa Sugar ambao msimu huu wanaonekana kuimarika haswa, hawatataka kupoteza mchezo huo.

Hivyo wanahitaji kushinda ili kuongia fainali ikisubiri mshindi mwingine kati ya Singida United na JKT Tanzania keshokutwa, Srand United leo itawategemea mshambuliaji wake Vitalis Mayanga na Mtibwa Sugar ina winga wake hatari Salum Kihimbwa

Stand United na Mtibwa Sugar zinaumana leo

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI