CARRICK AFUNGA NDOA MPYA MAN UNITED.

KIUNGO Michael Carrick amesaini Mkataba mpya Manchester United, ambao utamfanya adumu Old Trafford hadi mwaka 2015.

Kiungo huyo kwa sasa yuko nje ya Uwanja kwa sababu ya majeruhi, lakini ameemelezea furaha yake kwa kuongeza Mkataba na mabingwa hao wa Ligi Kuu ya England.

Carrick amesema: "Ni babu kubwa kuongeza Mkataba wangu katika klabu hii kubwa. Hakika nafurahia soka yangu.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI